Wasanii wakiwa katika foleni kupata msosi
AY akitabasamu wakati wa kikao hicho.
Wasanii wakiwa katika foleni kupata msosi
Wasanii mbalimbali wakiwa pamoja katika meza ya chakula huku wakibadilishana mawazo.
Mzee Yusuf (kushoto) na Chaz Baba wakichangia jambo katika kikao hicho.
Wasanii wa muziki mbalimbali waliohudhulia kikao hicho.
Baadhi ya wasanii wakiwa wamenyoosha mikono juu kuashilia kuwa wanataka kuchangia jambo wakati wa kikao hicho.Wasanii mbalimbali wa muziki nchini, leo wamekutana kwa pamoja katika ukumbi wa New World Cinema, uliopo Mwenge jijini Dar es Salaam kuzungumza na waandaaji wa Tuzo za Kili, lengo la kikao hicho likiwa ni kujadili namna Tuzo za Kili 2013 zitavyotolewa kuepuka lawama.
(PICHA: ISSA KWISA MPONI / GPL)