Saturday, 27 April 2013

HALI MBAYA BARABARA KIJIJI CHA UJUNI WILAYANI MAKETE MKOANI NJOMBE NI TAABU KUBWA ANGALIA MWENYEWE HALI ILIVO

Gari aina ya Fuso likiwa limekwama katika kijiji cha Ujuni wilayani Makete huku jitihada za kulivita zikiendelea, chanzo ni ubovu wa barabara eneo hilo
 

 Lori likijiandaa kulivuta fuso hilo
 

Mhhh, fuso limezama kwenye tope kama unavyoona, tairi za nyuma hazionekani
 
 
 Kondakta akijaribu kulitoa tope ili kurahisisha zoezi la kulikwamua gari hilo
 
 
 Hali halisi iliyopo eneo hilo ndiyo hii
Hawa ni maafisa wa halmashauri ya wilaya ya Makete wakitembea kwa miguu kufuata magari yao mara baada ya kulazimika magari hayo kupita njia za panya ili waendelee na safari ya kwenda kwenye maadhimisho ya miaka 49 ya muungano katika kata ya Itundu 
 

maafisa hao wakipanda magari yao tayari kuendelea na safari, hadi mwandishi wetu anatoka eneo hilo jana asubuhi fuso iliyokuwa imekwama ilikuwa haijaondolewa
 
(Picha na eddymoblaze njombe)